... kufundisha kiingereza katika shule ya msingi.
…kuongoza klabu ya kujadiliana
…kutunza watoto yatima
…kupanda miti
…kutengeneza matofali
…kusaidia katikakazi za ofisi
Ingawa kazi za vijana wanaofanya mazoezi kwa vitendo zinavyoweza kuwa tofauti lakini washiriki wote hupata fursa ya kujua yalivyo maisha ya kila siku na utamaduni wa watanzania.
Chama cha DETAF kinaunga mkono uzoefu huo muhimu wa kibinafsi unaochangia maelewanao ya kimataifa, kupitia vijana wanaojitolea kuwasaidia washirika wetu Tanzania. Muda tunaohitaji kupanga zoezi hili ni miezi mitatu
Utapata maelezo zaidi katika kurasa zifuatazo.
|